Ajali mbaya yatokea maeneo ya Mafinga Iringa sehemu
kunaitwa Changarawe ambapo gari aina lori lilokuwa likitokea Dar kwenda
Mbeya ambapo lilikuwa likikwepa shimo kubwa lililopo katikati ya
barabara na kugongana na gari la abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa
likitoka Mbeya kwenda Dar.
Kontena la lori limelalia kabisa basi, na watu wengine wamelaliwa na wengine wameporomokea korongoni, mpaka sasa hakuna majeruhi ni maiti tu, wala hakuna mtu ambaye inadhaniwa amepona.
- Kuna watoto wawili wasalimika, makadirio yao ni kati ya miaka mitatu na saba, lakini hawa inasemekana kwamba walirushwa korongoni kutokana na huo mgongano.
Fuatilia zaidi.
Kontena la lori limelalia kabisa basi, na watu wengine wamelaliwa na wengine wameporomokea korongoni, mpaka sasa hakuna majeruhi ni maiti tu, wala hakuna mtu ambaye inadhaniwa amepona.
- Kuna watoto wawili wasalimika, makadirio yao ni kati ya miaka mitatu na saba, lakini hawa inasemekana kwamba walirushwa korongoni kutokana na huo mgongano.
Fuatilia zaidi.
Ajali Mbaya mkoani Iringa_Mafinga. |
AJALI MBAYA YATOKEA MKOANI IRINGA